Siasa
Matokeo ya uchaguzi Uganda 2021:Rais Museveni aongoza katika kura zilizohesabiwa ( + Video)
Rais wa Uganda Yoweri Museveni anaongoza kwa kura kura nyingi katika matokeo ya awali yaliyotolewa nana Tume ya uchaguziIjumaa asubuhi.
Bw Museveni amepatakura 1,536,205 sawa na (65.02%), huku mshindani wake mkuuRobert Kyagulanyi,maarufu kama Bobi Wine, akipata kura 647,146(27.39%) kutoka vituo 8,310 vya kupigia kura.
Uganda ina jumla ya vituo 34, 684 vya kupigia kura.
Bofya hapa chini:
https://www.instagram.com/tv/CKDtWvmBO0s/
https://www.instagram.com/tv/CKDtWvmBO0s/