Mazishi ya Shekh Yahaya Hussein part2
Tunaendelea kukuletea baadhi ya picha ambazo zinaonyesha watu mbalimbali, ambao wamekuja kumzika mzee wetu marehemu Shekh Yahaya Hussein. Walikuwepo viongozi wa serikali wa juu kabisa, huku mazishi yote kwa ujumla yakiongozwa na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
Watoto wamarehemu wakizika kwa kutia mchanga kidogo kwenye kabuli
Wasira akitia baraka zake kwa kuzimka Shekh
Waandishi wa Habari, nao walikuwa wametulia wakifuatilia tukio hadi tukio
Huu ndiyo mshikamano, kati ya Meya wa Ilala Jerry Slaa wa CCM, na Prof Ibrahim Lipumba wa CUF, katika mazishi ya marehemu Shekh Yahaya Hussein
Kiongozi wa chama cha NCCR -Mageuzi Hashim Rungwe, akiwa kwenye pozi pembezoni mwa mti akifuatilia mazishi .
Wananchi nao walihakikisha mpaka wanafika kumsindikiza Marehemu Shekh Yahaya Hussein
Msafara wa Kikwete ukiondoka eneo la mazishi.
Hasante kwa kutembea Bongo5……..