Habari

Mbowe, Lema na Jacob wakamatwa (+Video)

Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema wamemkamata Freeman Mbowe pamoja na aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema na aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es Salaam Boniface Jacob kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano ambayo wao wameyapiga marufuku.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents