Habari

Mbunge ataka Rais Magufuli abaki madarakani hadi reli ya Namtumbo ikamilike ”Hatakama itamchukua miaka 30 ” (+Video)

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo (CCM), Mhandisi Edwin Ngonyani amesema bungeni leo anatamani rais John Magufuli na serikali yake iendelee kubakia madarakani hadi ujenzi wa reli Namtumbo utakapokamilika hata kama itachukua zaidi ya miaka 30.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents