Burudani

Mbunge Australia anyonyesha mtoto bungeni

Senator kutoka jimbo la Queensland nchini Australia, Larissa Waters, ameweka historia bungeni hapo alipomleta kazini na kumnyonyesha mwanaye wa miezi miwili ikiwa ni mara ya kwanza na hivyo kutengeneza historia hiyo nchini humo.

Larissa Waters amerejea kazini baada ya likizo ya uzazi na mwanaye huyo, huku akiwa tayari kutumia uhuru wake wa sheria mpya inayowaruhusu wazazi ambao ni senator,nchini Australia kuja na vichanga vyao na vilevile kuwanyonyesha punde wanapopatwa na njaa.

Hii unaionaje mdau hasa kwa hapa kwetu?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents