Habari

Mbunge Jaguar akamatwa na polisi Kenya kwa uchochezi na ubaguzi (Video)

Mbunge wa jimbo Starehe la nchini Kenya, Charles Njagua maarufu Jaguar amekamatwa na polisi nchini humo akiwa eneo la jengo la Bunge kwa madai ya kutoa vitisho dhidi ya wafanyabiashara wa kigeni.

Tayari serikali ya Kenya imetoa taarifa hii.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents