Siasa
Mbunge wa jimbo la Wawi Pemba ‘CUF’ ajiuzulu na kujiunga na CCM akiwa na magwanda ya chama chake mbele ya Polepole – Video
Mbunge wa jimbo la Wawi Pemba 'CUF' ajiuzulu na kujiunga na CCM akiwa na magwanda ya chama chake mbele ya Polepole - Video
Hivi ndivyo Mbunge wa Wawi (CUF) Mkoa wa Kusini Pemba Ndg Ahmed Juma Ngwali alivyotangaza kujiuzulu uanachama wa CUF pamoja na nafasi zake zote kupitia Chama hicho na kutangaza kujiunga na CCM na kupokelewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg @hpolepole
#B5Updates: Mbunge wa Wawi (CUF) Mkoa wa Kusini Pemba Ndg Ahmed Juma Ngwali atangaza kujiuzulu uanachama wa CUF pamoja na nafasi zake zote kupitia Chama hicho na kutangaza kujiunga na CCM na kupokelewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndg @hpolepole pic.twitter.com/cNCml3DnMg
— bongo5.com (@bongofive) March 3, 2020