Burudani

Mc Pilipili baada ya harusi ya Joti, ‘Nilipenda nioe ila sijapata mchumba’

Mchekeshaji Mc Pilipili ameweka wazi mipango yake ya ndoa kwa kueleza mwakani atafunga ndoa.

Kauli ya Mc Pilipili inakuja mara baada ya mchekeshaji mwenzie, Joti kufunga ndoa mwishoni mwa weekend iliyopita, October 28, 2017.

“Nilipenda nioe mwaka huu mwezi wa 10 na kwa sababu mwezi umefika bado sijapata mchumba, lakini mwezi wa 10 mwakani kitu kikubwa kitatokea” amesema Mc Pilipili.

Katika hatua nyingine Mc Pilipili amesema si vizuri kwa kina dada kuwachukulia wachekeshaji kama watu wasio serious katika mahusiano kwani hata wao wana nyoyo za kupenda pia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents