Michezo

Mchambuzi wa soka Abbas Pira akoshwa na kiwango cha Bernard Morrison Vs Singida United ‘Yanga wameula’ (+Video)

Mchambuzi wa soka Abbas Pira amejaribu kuchambua uwezo uliyooneshwa na Winga mpya wa klabu ya Yanga, Bernard Morrison kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida United. Katika mchezo huo ambao ulikuwa wa kwanza kwa Winga huyo, alijizoelea umaarufu mkubwa kufuatia kiwango ambacho alikionesha na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa jumla mabao 3 – 1.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents