Mcheza Mieleka, Big Daddy V wa WWE afariki dunia kwa ugonjwa wa moyo
Mcheza Mieleka wa WWE ,Nelson Frazier maarufu kama Big Daddy V amefariki dunia Jumanne usiku katika mji wake wa Memphis, Tennessee baada ya kuugua ugonjwa wa moyo .
Big Daddy akiwa katika pambano enzi za uhai wake
Big Daddy V amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 43 akiwa amechukua mikanda kadhaa ya World Tag Team Champion,Hardcore Champion na King of the Ring (1995).
Katika mtandao wake, WWE imeandika: WWE is saddened by the news that Nelson Frazier Jr., aka Big Daddy V and Mabel, has passed away. A larger-than-life Superstar, Frazier was a former World Tag Team Champion, Hardcore Champion and the 1995 King of the Ring.
As the dark, formidable Viscera, he was also a member of Undertaker’s faction, The Ministry of Darkness. Frazier’s colorful personality made him a memorable competitor throughout the Attitude Era. Our deepest condolences go out to Frazier’s family, friends and fans.”
Tazama video ya pambano la Big Daddy V wakati wa uhai wake na Colin Delaney.