Michezo

Mchezo wa Yanga na Singida warudishwa nyuma (Picha)

Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya Yanga imetoa taarifa ya kurudishwa nyuma kwa mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Singida United.

Yanga ambayo inatarajia kujitupa uwanjani kuwakaribisha Singida United ambao ni wageni katika ligi kuu baada ya kupata nafasi ya kupanda daraja inatarajia kucheza mchezo wa kirafi Agosti 5 badala ya Agosti 6 kama ilivyoelezwa hapo hawali.

Picha za wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini katika kambi yao huko Morogoro

Wachezaji wa Yanga wakiwa mazoezini katika kambi yao huko Morogoro

Mchezaji, Raphael daud akiwa katika mazoezi

Mchezaji, Thabani Kamusoko mazoezini akiwa na kocha Mkuu wa Timu hiyo

Mchezaji Ibraim Ajib akiwa katika mazoezi

By Hamza Fumo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents