Habari
Mganga wa Kienyeji mbaroni kwa kumbaka mgonjwa (+Video)
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia mganga wa kienyeji anayefahamika kwa jina la Hemed Jumanne mkazi wa wilaya ya Sengerema kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mgonjwa wakati akimtibu.