Habari

Mganga wa Kienyeji mbaroni kwa kumbaka mgonjwa (+Video)

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia mganga wa kienyeji anayefahamika kwa jina la Hemed Jumanne mkazi wa wilaya ya Sengerema kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mgonjwa wakati akimtibu.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents