Habari
Mhe. Mbowe aongea kwa uchungu Lowassa kuitosa CHADEMA, amtaka awapelekee CCM ujumbe huu mzito (+VIDEO)
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Freeman Mbowe ameongea kwa mara ya kwanza kuhusu Lowassa kukihama chama hicho na kurudi CCM.
Mhe. Mbowe amesema kuwa amesikitishwa na taarifa hizo na kumpa ujumbe wa kupeleka CCM.