Habari

Mhe. Rais lini utateua waziri wa Nishati na Madini? – Mnyika

Mbunge wa Kibamba(Chadema), John Mnyika, amemuuliza Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuwa lini atateua Waziri wa Nishati na Madini.

Mnyika ameuliza swali hilo kupitia ukurasa wake wa Tweeter ambapo ametweet hivi huku akitupia tag kwa Rais Magufuli:

Mheshimiwa Rais @MagufuliJP lini utateua Waziri wa Nishati na Madini?

Mei 24, Rais Magufuli alitengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo.

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents