Michezo
Michael Wambura achukua fomu TFF
Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Michael wambura amechukua fomu ya kuwania nafasi ya makamu rais.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa TFF, Michael wambura
Wambura amechukua fomu hizo leo kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania tayari kuwania hiyo inayoshikiliwa na Warres Karia.
BY HAMZA FUMO