Burudani

Millen Magese afunguka kuhusu ujio wa Beauty Legacy ya Jack Mengi pamoja mtoto wake kumrudisha Tanzania (Video)

Miss Tanzania 2001, @ladivamillen amefungu mambo mbalimbali kuhusu ujio wa tukio la Beauty Legacy la @j_n_mengi pamoja na mambo mbalimbali kuhusu tasnia ya urembo nchini Tanzania. Katika hatua nyingine mrembo huyo amesema kwa sasa amemrudisha mtoto wake nchini Tanzania kutokana na sakata la ugonjwa wa corona nchini Marekani.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents