Millen Magese anyakua tuzo ya Global Ambassador Award
Miss Tanzania 2001 Millen Magese ameibuka shujaa kwa kupewa tuzo ya Global Ambassador Award na kampuni ya habari ya Face2face Africa ya nchini Marekani baada ya kushare maisha magumu anayopitia kupitia ugonjwa Endometriosis ambao umekuwa ukimsumbua kwa zaidi ya miaka 25.
Mrembo huyo July 13, 2018 alijifungua mtoto wake wa kwanza aitwaye Prince Kairo.
Kitendo hicho kimeonekana cha kijasiri kutokana wanawake wengi ambao wanasumbuliwa na ugonjwa huo hupoteza uwezo wa kupata mtoto kutokana na maumivu makali anayoyapata wakati wa kupata hedhi.
Usiku wa kuamkia leo mrembo huyo amekishukuru chombo hicho cha habari chenye makazi yake nchini Marekani kwa kutambua mchango wake kwa jamii.
Magese aliandika, “My Symbol of Hope๐๐ . First speech with my son in my hands….. what a beautiful moment ๐๐๐๐Thank you @face2faceafrica for honoring me with a Global Ambassador Award. To me and us Endometriosis/Infertility community,itโs not just a trophy ….. it is another platform where we can share our true stories and raise awareness about our journey on reproductive health .Endometriosis and Infertility is real. If it affects us as women it affects our families,our life and people around us. #SPEAKOUT #manyfacesofendo๐ #millenmagese๐๐โญ๏ธ”
Alisema yeye atopata mtoto, yeye ajaagana na mungu, mungu ndio kila kitu.
๐ ๐
๐ ๐ ๐