Millen na Flaviana wako juu!!
Mamodo wakibongo Millen Magesa na Flaviana Matata wanazidi kushine na kujulikana huko bondeni aka Afrika Kusini
Inasemekana Flaviana ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili ya umodo huko Joburg wakati Millen amekula shavu New York na kupata mkataba mnono wa miaka mitatu huko kuanzia julai 1 2009.