Miss Dar City Center lilivyofanyika
Miss Dar City Center akiwa na miss ambaye amemaliza wakati wake, wakati wa tamasha hilo ambalo Alexia William alishinda taji hilo, ambalo liligombaniwa na warembo 18, kutoka katika kitongoji cha Dar es salaam.
Hawa ndiyo waliosogea katika tano bora za Miss Dar City Center mwaka 2011 na 2012 (Majina angalia ukurasa mwingine)
Hapa Miss Dar City Center aliyepita wakati akiwapungia mkono mashabiki wake wakati wa kuwaaga katika kiti hicho alidumu nacho toka mwaka 2010 na 2011
Ma -Mc wa Miss Dar, hapa akiwa Mirad Ayo wa Clouse Fm.
Meya wa Almashauli ya Manispaa ya Ilala Mh Jerry Slaa akimkabidhi zawadi, mrembo Marvin Nkeze ambaye aliingia katika tano bora za Miss Dar.
Nasisi wakina nanii pia tulikuwepo, si unajua hamna kazi bila ya waandishi kuwepo, lazima tupige picha na nyinyi pia mpata kuona hivyo ni muhimu kuheshim kazi kama hii.
Warembo wa Tabata, na wao walikuwepo kuwaunga mkono warembo wenzao ambapo pia anahitajika kupatikana mshindi kati yao, ambaye atakuja kupambana na wengine na ndiye aingie katika kinyanyiro cha kuwania miss Tanzania mwaka 2011 na 2012, kwa hiyo hapa walikuwa wakiiba maujuzi.
Hapa ndiyo waliokuwa wakichuana kati ya Alexia William (4) na kwanza na wa pili wakisubiliwa kutajwa, yaani
Hapa tayari mshindi ameshajulikana Alexia William akiwa na Fetty mtayarishaji wa shindano.
Upande wa Buludani uletwa na Twanga Pepeta na Tip Top Conection wakiwa na Dogo Janja, lakini hapa tunamtizama zaidi Tunda Man aliyeamua kujikita zaidi kwa kucheza na warembo wa Tabata.