Burudani
Miss Dar Intercollege 2010
Rose John kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii ndiye mshindi wa Miss Dar Intercollege 2010, mshindi wa pili ni Cassiana Milinga kutoka chuo cha biashara CBE (kulia) na mshindi wa tatu ni Marylidya Boniface nae kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii.
Miss Dar Intercollege 2010 ilifanyika jana usiku katika ukumbi wa starehe ya Club Bilicanas wakati Barnaba na Amin waliangusha burudani ya kutosha kwa wadau.