Burudani
Miss Progress International arejea
Miss Progress International 2010 Juliet William amewasilini nchini leo akitokea nchini Italia alikokuwa akishiriki shindano la urembo na maswala ya utalii.
Juliet alifika mchana mida ya saa nane na ndege ya Kenya Airways akitokea nchini Italia alikoshiriki shindano la urembo katika taji hilo na kufanikiwa kutwaa taji hilo la Dunia ambalo ndiyo kwanza limeanzishwa mwaka huu.
Mrembo huyo ametutoa kimasomaso watanzania akiwa mrembo wa kwanza Tanzania kutwaa taji la dunia.