Burudani
Miss Tanzania 2010, Genevieve aachia ngoma yake ‘Nana’ ni fireeee
Muongeze Genevieve Emmanuel kwenye orodha ya wasanii wa kuwaangalia mwaka huu. Miss Tanzania huyo wa mwaka 2010, ameachia ngoma yake iitwayo Nana na uwezo wake katika uimbaji utakushangaza… Ngoma imetayarishwa na Luffa.