Miss Utalii Dar mlangoni
Warembo 10 kutoka wilaya zote tatu za Dar es salaam tayari wako kambini kwenye hoteli ya Rainbow social Club iliyopo Mbezi beach kujiandaa na fainali za kumsaka Miss Utalii Dar itayofanyika kwenye hoteli hiyo Februari 13.
Warembo 10 kutoka wilaya zote tatu za Dar es salaam tayari wako kambini kwenye hoteli ya Rainbow social Club iliyopo Mbezi beach kujiandaa na fainali za kumsaka Miss Utalii Dar itayofanyika kwenye hoteli hiyo Februari 13.