Burudani

Mitindo ya Cannes Film Festival

Kwa siku mbili mfululizo mastaa mbali mbali walijitokeza katika kuadhimisha miaka 70 ya tamasha la Cannes Film Festival jijini Paris, Ufaransa.

Katika tamasha hilo liliofanyika tarehe 18 na 19, ambapo ni C.EO wa Caroline Scheufele pamoja na mwanadada Rihanna walikuwa watangazaji.

Hivi ndivyo mastaa walivyotokelezea siku hiyo.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents