Michezo
Mkazi wa Arusha ajishindia TVS King kutoka SportPesa
Mkazi wa Arusha Ismail Abdallah Jumapili hii ameibuka na TVS King kutoka Kampuni ya Michezo ya kubashiri, Sportpesa baada ya kujiunga na kubashiri mechi mbalimbili kupitia kampuni hiyo.
Mshindi huyo ni mshindi wa 13 toka promotion hiyo ya aina yake ambayo inataratia kutoa bajaj 100 ianze.
Ismail Abdallah amesema amejishindia bajaj hiyo baada ya kujiunga na SportPesa na kuanzia kubashiri.
Bwana Ismail amewataka watanzania kuchangamkia nafasi hiyo kwa kujiunga na SportPesa kupitia tovuti ya www.sportpesa.co.tz au kwa kupiga *150*87#