Habari
Mke wa Rais Mugabe adai Gabriella alikuwa mlevi
Mke wa Rais Mugabe, Grace Mugabe amedai kuwa binti aliyemshushia kipigo Gabriella Engels alikuwa mlevi na alitaka kumshambulia kwa kisu.
Tukio la kushambuliwa binti huyo lilifanyika Agosti 13,mwaka huu nchini Afrika Kusini katika moja ya chumba cha Hoteli alichomkuta mrembo huyo na kijana wake Robert Jr. Baada ya saa chache la tukio hilo Bi. Grace alijisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi nchi humo.
Soma taarifa kamili: