Mkubwa na wanawe ndani ya miaka 50 ya Uhuru
Bendi ya mkubwa na Wanawe imeendelea kukamilisha video ya wimbo wa miaka 50 ya uhuru, ambao umeimbwa na kundi hilo katika maadhi ya Mchiriku. Kiongozi wa kundi hilo Saidi Fella, amesema bendi yake hiyo ya mkubwa na wanawe, imeweza kukusanya
wasanii wengi wachanga na wenye uwezo wa hali ya juu. Amesema pia nyimbo hiyo imehamasisha watanzania kuitunza amani waliyokuwa nayo kwani ni tunu kutoka kwa mwenyezi mungu. Video ya wimbo huo ameifanya katika maeneo ya Temeke sehemu ambayo ni karibu na studio yake ya Poteza Record.
Wakazi wa Temeke wakiangalia video iunavyochukuliwa
DulaYeyo mkali wa mcvhiriku katika kundi hilo
Producer wa wimbo huo Suresh, akiwa na mkubwa Fella kiongozi wa kundi hilo.
{hwdvideoshare}id=1609|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}