Habari
Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma awapiga msasa wenyeviti na watendaji
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma,Godwin Kunambi amefanya kikao cha kazi na wenyeviti na watendaji wa mitaa na vijiji wote wa Manispaa ya Dodoma. wapigwa msasa lengo ikiwa nni kuboresha utendaji wa kazi na mahusiano
Soma taarifa kamili: