Habari

Mmoja auawa na wengine wajeruhiwa vibaya katika shambulio la kuchomwa visu, Uingereza

Polisi nchini Uingereza imesema kuwa mtu mmoja ameuawa na wengine saba wamejeruhiwa kwa kisu katikati tukio lililofanyika katika jiji la Birmingham.

Birmingham stabbings: Manhunt as one dead, seven injured after 'random'  attack

Tukio hilo halijaonekana kuhusishwa na ugaidi, genge la kihalifu au kuhusishwa na machafuko yoyote Polisi wa West Midlands wamesema.

Hata hivyo uchunguzi dhidi ya mtu aliyohusika na tukio hilo unaendelea huku polisi wakiwataka wenye CCTV, au klipi ya video kupitia simu waziwasilisha ili kusaidia kufanikisha kwa zoezi hilo.

Kwenye tukio hilo mwanaume mmoja amepoteza maisha huku wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents