Michezo

Mnyama ‘Simba SC’ aijeruhi Njombe Mji

Klabu ya Simba imefanikiwa kujikita kileleni mwa Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara kwa kupata ushindi wa goli 2-0 dhidi ya klabu ya Njombe Mji kunako dimba la Saba saba mjini Njombe.

Magoli yote mawili ya Simba SC yamefungwa na John Bocco kunako dakika ya 17 na 64 ya mchezo huo.

Kwa matokeo hayo, Simba kwa sasa inaongoza ligi kwa alama 49 ikifuatiwa na mahasimu wao Klabu ya Yanga yenye alama 46.

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents