Michezo
Mo Dewji atangaza kumtafuta shabiki wa Simba aliyechaniwa jezi na mashabiki wa Yanga (+Video)
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa klabu ya @simbasctanzania @moodewji atangaza kumtafuta shabiki wa Simba aliyechaniwa jezi namashabiki wanaoonekana wa Yanga.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram MO DEWJI amepost ujumbe huu wenye video hiui:-
Namtafuta shabiki huyu wa Simba aliyechaniwa jezi, nataka kukutana nae. Mpira ni Ushindani, Mpira ni Utani, Mpira sio Uadui!
https://www.instagram.com/p/CElbcwml-GA/