Habari
Mohamed Dewji kulipamba kava la jarida la Forbes Africa la July 2013
Mbunge wa Singida Mjini Mohammed Dewji, atakuwa kwenye kava la jarida la Forbes Africa mwezi ujao.
Miongoni mwa yale yaliyoandikwa kwenye cover story yake ni pamoja na ‘akiwa na miaka 38 tu, Mohammed Dewji ameajiri watu 24,000 na anadai kuwa anachangia asimilia 3.5% ya pato la nchini, GDP.Ndani ya miezi mitano ijayo anategemea kutengeneza himaya yenye thamani ya dola bilioni 5.’