MichezoUncategorized
Mohamed Salah matatani na jeshi la polisi, Liverpool yathibitisha
Kipande cha video kimewekwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kinachomuonyesha nyota huyo akiwa anaendesha gari yake aina ya Mercedes huku akichati jambo ambalo ni kosa kwamujibu wa sheria za Uingereza.
Salah ameisaidia timu yake ya Liverpool kuchomoza na ushindi wa mabao 4 – 0 dhidi ya West Ham siku ya Jumapili mchezo uliyopigwa kwenye dimba la Anfield.
Wazungu bwana eti timu yenyewe ndio imemchongea kwa kupiga simu polisi kuwa anaendesha gari huku akiwa anaongea na simu!