Burudani

Mohombi ajitosa kuiokoa DR Congo na janga la utapiamlo

Msanii wa muziki maarufu zaidi duniani, Mohombi amejitosa kuikoa DR Congo na janga la Utapiamlo, kwa kuanzisha kampeni yake ya I Love Congo.

Mohombi

Mohombi amesema kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani (FAO) na lile la Watoto Duniani (UNICEF) amejitolea kutoa misaada ya chakula ili kunusuru watu 160,000 wanaoripotiwa kufariki dunia kila mwaka nchini humo kwa utapiamlo.

My name is Mohombi Moupondo and I am a Congolese Citizen. I am pleased to announce that the #iLoveCongo campaign has officially launched. As Congolese, we have decided to rise up and fight against the malnutrition in our country. Just try to Imagine…160 000 children under 5 years old will die this year alone from the consequences of severe malnutrition (UNICEF). You are Congolese, I am Congolese and therefore We are ALL responsible. We HAVE to act NOW ! Let’s come together and join forces by creating a “union of foundations” that will be supporting the World Food program (WFP) in it’s fight for ZERO HUNGER ! The first step is expressing our love and raise awareness by using the following hashtag on our Social media.👉🏽 #iLoveCongo

Je m’appelle Mohombi Moupondo et je suis un citoyen congolais. Je suis heureux d’annoncer que la campagne #iLoveCongoest officiellement lancée. En tant que Congolais, nous avons décidé de nous lever et de lutter contre la malnutrition dans notre pays. Essayez d’imaginer … 160 000 enfants de moins de 5 ans mourront cette année des conséquences de la malnutrition sévère (UNICEF). Vous êtes congolais, je suis congolais et donc nous sommes tous responsables. Nous devons agir maintenant! Réunissons-nous et unissons nos forces en créant une “union de fondations” qui appuiera le Programme Alimentaire Mondial (PAM) dans sa lutte pour ZERO FAIM! La première étape consiste à exprimer notre amour et à sensibiliser en utilisant le hashtag suivant sur nos réseaux sociaux. #iLoveCongo

Mohombi baba yake ni ni raia wa DR Congo na mama yake ni Mswedeni, na kazi yake ya muziki na maisha yake yote amekulia Sweden.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents