Michezo
Moroco watua nchini
Timu ya Taifa ya Moroco imewasili nchini jana kwa shirika la ndege la la KLM iliyotua katika uwanja wa Mwalimu J. Nyerere, Moroco inatarajia kuumana na Taifa Stars kwenye uwanja wa taifa jumamosi jijini Dar es Salaam.
Mchezaji wa timu ya Asenal FC inayoshiriki ligi kuu Uingereza, Marouane Chamakh akiwa katika msafara wa timu hiyo pamoja na wenzanake walielekea hotelini.
Mechi hiyo itakuwa ni mechi ya kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2012 na utaonyeshwa moja kwa moja katika kituo cha Television cha Super Sport cha Afria Kusini.