Michezo
Mourinho: Mambo Bado Kabisaaa
Kocha wa Real Madrid Jose Mourinho licha ya kupata ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye uwanja wa Bernabeu Jumapili iliyopita katika ligi ya Hispania, amesema bado timu yake iko kwenye matengenezo.
Ushindi huo ni mkubwa kwa kikosi hicho tangu kilipoanza kuwa chini ya kocha huyo na kusababisha mtambo kuongezeka na kusema `Bado hatujawa na timu bora duniani,tupo kwenye marekebisho,kazi inaendelea na kuna mengi sana ya kufanya.
Aidha kocha huyo aliyewahi kuifundisha Fc Porto ya Ureno amejinadi kuwa anataka kufunuka Barcelona kutawala soka la Hispania na Ulaya,