Burudani
Mpoki akiimba nyimbo za Asili
Mwanamuziki wa Asili ambaye amepata tuzo ya kili music Award, Mpoki akiimba wakati wa tamasha lililofanyika pale New Msasani, katika Sherehe ya kumpongeza msanii Twenty Percenty kutokana na kutwaa tuzo tano kwa wakati mmoja.
Jcb kabla ya kupanda jukwaani akiwa na Watengwa,
Makomedy, wakiwa wanajadili nini wakarushe kutoka kwenye jukwaa hilo la Twenty Percenty ni Vengu pamoja na mwanamuziki bora wa muziki wa Asili Tanzania.
Vengu akiokota data kutoka jukwaani na Black Berry yake.
Q Chiller naye alikuwepo kumuunga mkono 20% katika jukwaa moja
Jcb akiwa jukwaani, akitoa michano na panchi za Hip Hop
Jose Mara mtoto wa kimara nao walikuwepo kusherekea tuzo zao, pamija na Twenty.