Burudani
Mr Kesho afunguka kutemwa na menejimenti yake (+video)
Msanii wa Bongo Fleva, Mr Kesho amefunguka kuhusu kufukuzwa kwenye menejimenti aliyosainiwa pamoja na Linah. Hit maker huyo wa ‘Nangoja’ amefunguka hayo alipoongea na Bongo5, tazama mahojiano hayo hapa chini.