Habari
Mradi huu umechelewa, na bahati mbaya wakati wanaendelea kujadili pakatokea Corona na ishindwe na ikalegee huko- Rais Magufuli (+Video)
“Mradi huu umechelewa, na bahati mbaya wakati wanaendelea kujadili pakatokea Corona na ishindwe na ikalegee huko, ikawa inachelewesha, nani anapenda kufa kwahiyo hili licorona likaanza kukoromea huu mradi wetu wa mafuta”- Rais Magufuli