Habari
Mradi huu wa bomba ni ukombozi mwingine na historia nyingine ya ushindi baada ya vita ya Kagera -Rais Magufuli(+Video)
Mradi huu ni ukombozi mwingine na ni historia nyingine ya ushindi baada ya vita ya Kagera kwa sababu bomba litakalopita litaacha fedha, Tanzania tutapata faida ya asilimia 60 kutoka katika mradi huo – Rais Magufuli