Siasa
Mrema: Sisi TLP hatuna mabadala mwingine zaidi ya Magufuli, Tulikaa mara tatu na tulimwalika Polepole (+Video)
“Sisi TLP tulikaa tukatafakari kwa umakini, tukasema hatuna mbadala wa Dkt. John Pombe Magufuli, tusinganganie jimbo moja CCM 30 ni matumizi mabaya ya rasilimali watu” ”Tumekaa mara tatu na katika Mkutano Mkuu wa TLP tulimwalika
@hpolepole
kwa niaba yako na alijionea kura zote za wajumbe wa mkutano mkuu ziliangukia kwako na tutazunguka nchi nzima kukupigia kampeni”, – Augustino Mrema M/Kiti TLP. Augustino Mrema
https://www.youtube.com/watch?v=whwwetWUM6M