Burudani
Mrembo adata kisa Diamond, Diamond alambwa mabusu!(Video)
Mwanadada mmoja alipandisha mzuka mithiri amechanganikiwa baada ya kumuona Live Diamond Platnumz party na birthday ya Jack Wolper iliyofanyikia Buckets Masaki jijini Dar es salaam.
Mrembo huyo aliyejitambulisha kwa jina la Latifa alidai ana miaka mingi amekuwa akimuangalia Diamond kwenye runinga pamoja na magazeti.