Bizzare

Mrembo anadi bikira yake kwa shilingi milioni 43

Upo single? Una shilingi milioni 43 za kuchezea? Basi mrembo huyu wa Urusi, anakupa fursa ya kulimenya ganda lake vyovyote utakavyo kwa mkwanja huo.

12

Mrembo huyo aitwaye Shatuniha ameinadi bikira yake £17,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 43 za Kibongo. Shatuniha, 18, alisema: “Nina shida ya haraka ya hela, hivyo nauza kitu changu cha thamani zaidi ninachomiliki. Niko tayari kukutana na mtu haraka iwezekanavyo, hata kama ni kesho na nipo tayari kuthibitisha kama kweli ni bikira.

33

Naweza kuja kwenye hoteli pale Predmostnaya Square nikiwa na nyaraka za kuthibitisha ubikira wangu, na mtu ambaye atachukua hela na kuondoka ili nisiingizwe mjini. Mtu huyu ataondoka na hela lakini mimi nitabaki. Pesa inatakiwa kuwa cash tu.”

A-teenager-from-Russia-has-sold-her-virginity-for-less-than-$30000-it-is-reportedThe-unnamed-18-year-old--known-only-2667541
Hata hivyo tayari, Evgeniy Volnov ameshinda mnada huo kwa kutoa whose £17,514 ili kula mzigo huo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents