Burudani

Mrembo Vera Sidika atangaza kuachana na Mpenzi wake Otile Brown atoa sababu hizi

Mrembo Vera Sidika atangaza kuachana na Mpenzi wake Otile Brown atoa sababu hizi

Mrembo na mwanamitindo kutoka nchini Kenya Vera Sidika ameamua kuweka hadharani sababu zilizopelekea kuachana na mpenzi wake ambaye ni mwanamziki Otile Brown.

Vera Sidika amekuwa mtu maarufu sana kutokana na kazi yake ya Uanamitindo pia akifungua ofisi inayohusiana na mambo ya Urembo Jijini Nairobi nchini Kenya.

Mapenzi yao yamedumu kwa zaidi ya miezi miatu hadi hivi sasa na mwishowe Mrembo huyo ameamua kuweka wazi kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa mapenzi yao yamefikia mwisho.

Vera ameweka wazi kuwa amechoshwa na matendo ambayo anafanyiwa na mwenza wake kwani kabla ya kutoka kwa video ya ngoma ya Otile inayokwenda kwa jina la Baby Love ambayo yeye Vera ametumika kama Video Queen kuwa hampendi.

Penzi lao lilikuwa limegubikwa na maneno mengi sana wengi wakionekana kumshauri Otile kuachana na Vera kwani hawaendani lakini pia kabla ya kutoka video ya Baby Love ambayo ni ngoma ya Otile ilisemekana wameachana lakini kumbe ilikuwa kiki ya wimbo huo

Sidika ameongea mengi sana katika waraka aliouweka kwenye mtandao wake wa Instagram.

soma hapa

 

 

By Ally Juma.

Related Articles

6 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents