Burudani

Mrisho Mpoto awaliza Watanzania waliofika Leaders kuuaga mwili wa Masogange (+video)

Mashairi ya Msanii wa Muziki wa asili, Mrisho Mpoto yamewatoa machozi mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es salaam ambao leo Aprili 22, 2018 walikusanyika kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa Agness Gerald Masogange katika viwanja vya Leaders tayari kwa kuusafirisha mwili huo kwenda mkoani Mbeya kwa ajili ya mazishi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents