Mwanadada toka nchini Marekani Ms. Trinity (mwenye top ya blue) ametua jijini Dar kwa ajili ya kutumbuiza ndani ya ukumbi uliozaliwa upya wa New Maisha Club Ijumaa 24 mwezi huu.
Wapenzi wa dancehall wakae mkao wa kuchizika kutokana na shoo bomba ambayo ameiahidi mwanadada huyu.
Pata flavas za Ms. Triniti na Beenie Man hapa chini
{hwdvs-player}id=1151|tpl=playeronly{/hwdvs-player}