Msanii wa Afrika Kusini aliyeimba wimbo wa John Cena kwa Kiswahili, amtoa maneno mazito mbabe huyo wa Mieleka baada ya kukutana – Video
Msanii wa Afrika Kusini aliyeimba wimbo wa John Cena kwa Kiswahili, amtoa maneno mazito mbabe huyo wa Mieleka baada ya kukutana - Video
katika show ya msanii Kelly Crarkson (The Clarkson show) msanii kutoka kwa madiba Afrika kusini Sho Madjozi alikua anaperform katika show hiyo na kikubwa kilichotokea ni kwamba mkali wa mielekea duniani John Cena kumfanyia Suprise mwanadada huyo kitu ambacho hakutegemea kabisa.
Ikumbukwe katika show ya Ellen Ellen (The Ellen Show) John Cena aliulizwa kuwa kuna msanii kutoka Afrika kusini kaimba wimbo unaitwa John Cena unamfahamu alijibu ndio nmafahamu na akamtaja jina kusema anaitwa Sho Madjozi.
Sho Madzoji aliandika maneno haya kwenye ukurasa wake wa Twitter:-“Sikumuona akiingia kwa wakati huo watu walikuwa wakipiga kelele mimi ni kama ninlishtuka.”
Thank you @KellyClarksonTV 💕 I was so excited you called me to perform but this?? Oh my gosh 😠pic.twitter.com/yvohI606jw
— It’s Sho time (@ShoMadjozi) November 8, 2019
Mkali wa mieleka John Cena nae aliandika manenbo haya:-Asante
Kelly ClarksonTV kwa tukio kubwa na lakushangaza na ni heshima gani ya mimi kujifunza vitu vingi kutoka kwa ShoMadjozi
hadithi na jinsi ilivyo lakini pia kwa kuona kuwa WWE
inaweza kuhamasisha msanii kote ulimwenguni. wanasema “Fanya kilichobora uwe bora kwa sababu haujui ni nani anayeangalia au inamuthiri vipi”.
Thank you @KellyClarksonTV @kellyclarkson for an amazing moment and what an honor to learn @ShoMadjozi story and how @WWE could inspire an artist around the world. Do your best to be your best, because you never know who’s watching or how they’re affected. https://t.co/dckbtAeGYh
— John Cena (@JohnCena) November 8, 2019
Iku