Habari
Msanii wa Ghana, Stonebwoy ashinda tuzo ya Best International Act Africa ya BET
Msanii wa muziki wa dancehall wa Ghana, Stonebwoy ameshinda tuzo ya Best International Act: Africa, kwenye BET Awards 2015.
Amewapiku wasanii wenzake wakiwemo Sarkodie, A.K.A, Yemi Alade na Sauti Sol.
Hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Stonebwoy kutajwa kwenye tuzo za kimataifa.
Stonebwoy akiwa na Sarkodie