Burudani

Msanii wa Kings Music ya Alikiba, Cheed aachia Video mpya ‘Masozy’ aliyomshirikisha Alikiba na K-2GA 

Msanii wa muziki wa kutoka kundi la Kings Music la muimbaji Alikiba, Cheed ameachia video ya wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la ‘Masozy’ uliyowashirikisha K-2GA na Alikiba. Audio ya wimbo huo ikiwa imefanyika Combination Sounds huku video ikiongozwa na Kevin Bosco Jr.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents