Habari
Msemaji mkuu wa Serikali: Jarida la Forbes linaitaja Tanzania kuwa nchi ambayo uchumi wake umekua kwa wastani wa 6% hadi 7 (+Video)
Jarida la Forbes linaitaja Tanzania kuwa nchi ambayo uchumi wake umekua kwa wastani wa 6% hadi 7% kwa mwaka kutokana na matumizi mazuri ya rasilimali zake na utalii kati ya mwaka 2009 hadi 2017 – Dkt.Hassan Abbasi
https://www.youtube.com/watch?v=1Dn7pWA8OB4